BARCELONA YALALAMIIKA UEFA KUHUSU UWANJA WA SAN SIRO!
• Guardiola: 'Ni wazi Kiwanja kiliondoa uhondo uliostahili'
• AC Milan yakiri Kiwanja kinahitaji kusukwa upya nyasi mpya!
Refa Msweden, Jonas Eriksson (katikati) ya wachezaji wa Barcelona, viungo Muargentina Javier Mascherano (kushoto) na Xavi Hernandez katika mechi ya Ligi ya Mabingwa, Robo Fainali ya kwanza jana dhidi ya AC Milan Uwanja wa San Siro mjini Milan. Mechi hiyo iliisha kwa sare 0-0 na Eriksson alilaumiwa na vyombo vya habari vya Hispania baada ya mchezo huo.
Mabingwa wa Ulaya, FC Barcelona, wamewasilisha malalamiko rasmi kwa UEFA kuhusu hali ya Uwanja wa kuchezea wa San Siro ambako jana walitoka sare 0-0 na AC Milan kwenye Mechi ya kwanza ya Robo Fainali ya UEFA CHAMPIONZ LIGI.
Timu hizi zitarudiana huko Nou Camp hapo Aprili 3.
Katika Mechi hiyo Wachezaji walionekana kuteleza mara kwa mara na vipande vipande vya nyasi kuonekana kumeguka kila wakati.
Guardiola
Katika Taarifa yao leo, Barca wamesema walilifikisha suala hilo kwa Msimamizi wa UEFA Mikalai Varabyov katika Mkutano maalum baada ya Mechi na Msimamizi huyo ameweka malalamiko yao katika Ripoti yake kwa UEFA.
Mara baada ya Mechi hiyo, Meneja wa Barca, Pep Guardiola, alisema: ‘Sie, mwishoni, tuliizoea hali ile kwani huwa tunahimili kila namna….lakini ni wazi hilo likuwa tatizo kwa uhondo uliostahili.’
Nae Makamu wa Rais wa AC Milan, Adriano Galliani, amekiri Kiwanja kinahitaji kuwekewa nyasi mpya na watazungumza na wenzao Inter Milan ambao pamoja nao ndio wanautumia Uwanja wa San Siro kama Kiwanja cha nyumbani.
MIFUMO WALIVYOCHEZA
MIFUMO WALIVYOCHEZA
Milan
32
Christian Abbiati
Kipa
Kipa
5
Philippe Mexes
Beki
Beki
13
Alessandro Nesta
Beki
Beki
25
Daniele Bonera
Beki
Beki
77
Luca Antonini
Beki
Beki
10
22
Antonio Nocerino
Kiungo
Kiungo
23
27
11
Zlatan Ibrahimovic
Mshambuliaji
Mshambuliaji
70
Barcelona
1
Víctor Valdés
Kipar
Kipar
2
Daniel Alves
Beki
Beki
3
Gerard Piqué
Beki
Beki
5
Carles Puyol
Beki
Beki
6
Xavi
Kiungo
Kiungo
8
14
Javier Mascherano
Kiungo
Kiungo
15
16
Sergio Busquets Burgos
Kiungo
Kiungo
9
10
Lionel Messi
Mshambuliaji
Mshambuliaji
Wachezaji wa akiba
1
Marco Amelia
KIpa
KIpa
76
Mario Alberto Yepes
Beki
Beki
15
18
Alberto Aquilani
Kiungo
Kiungo
28
92
21
Maxi López
Mshambuliaji
Mshambuliaji
13
José Pinto Colorado
Kipa
Kipa
26
Marc Muniesa
Beki
Beki
35
4
Cesc Fàbregas
Kiungo
Kiungo
11
Thiago Alcántara
Kiungo
Kiungo
17
37
Kocha
Kocha
-
No comments:
Post a Comment