BUKOBA SPORTS

Wednesday, April 11, 2012

HATIMAYE AC MILAN YALEJEA TENA KILELENI, MUNTARI SHUJAA

VERONA, ITALIA

Sulley Muntari alifunga dakika ya nane, na kuwapa mabingwa watetezi, AC Milan ushindi wa 1-0 dhidi ya Chievo Verona na kuifanya timu hiyo ifute gundu la kucheza mechi nne bila kushindasambamba na kurejea kileleni Serie A. AC Milan sasa inaizidi pointi mbili Juventus iliyo nafasi ya pili, ambayo leo inawakaribisha Lazio wanaoshika nafasi ya tatu.
 
Muntari akimchomoka Cyril Thereau katika mechi ya jana akifunga bao pekee la ushindi Uwanja wa Bentegodi, Verona.

No comments:

Post a Comment