BUKOBA SPORTS

Sunday, May 6, 2012

FAINALI FA CUP: CHELSEA YATWAA KOMBE DHIDI YA LIVERPOOL !

Party time: Chelsea won the FA Cup at Wembley thanks to Didier Drogba's second-half goal
Bao mbili za Ramires na Didier Drogba zimewapa ushindi Chelsea wa bao 2-1 jana walipoitwanga Liverpool mbele ya Watazamaji 89,102 Uwanjani Wembley Jijini London na kunyakuwa FA Cup kwenye Fainali yake ya 131.
Jumping for joy: Didier Drogba (left) celebrates scoring Chelsea's second goal
Hadi mapumziko bao zilikuwa 1-0.
Goal? Andy Carroll thought his header was over the line but referee Phil Dowd disagreed
Chelsea walipata bao lao la kwanza Dakika ya 11 la Ramires na kumpenya Kipa Reina kwenye posti yake ya karibu.
 Goal? Andy Carroll thought his header was over the line but referee Phil Dowd disagreed
Liverpool walionyesha mchezo duni hadi Andy Carroll alipofunga bao moja baada ya John Terry kukosa kuimarisha ngome ya Chelsea kikamilifu, na mabao kuwa ni magoli 2-1.
Goal? Andy Carroll thought his header was over the line but referee Phil Dowd disagreed
Kulikuwa na ubishi kwa muda uwanjani baada ya Carroll kudhani alikuwa amefunga bao la kusawazisha kwa kichwa, na Petr Cech kuutema mpira huo, ambao kwanza uligonga mwamba na kuanguka mbele ya msitari.Party time: Chelsea celebrate their FA Cup win over Liverpool at Wembley
Wachezaji na mashabiki wa Liverpool wote walidhani mpira ulikuwa umevuka msitari.
Didier Drogba alifunga bao la pili Dakika ya 52 a Liverpool kupata bao lao Dakika ya 65 Mfungaji akiwa ni Andy Carrol.


S004 NAT 0605 (READ ONLY)-1.jpg
S004 NAT 0605 (READ ONLY)-2.jpg

FA Cup 7 alizoshinda Ashley Cole:
2012: Chelsea 2-1 Liverpool
2010: Chelsea 1-0 Portsmouth
2009: Chelsea 2-1 Everton
2007: Chelsea 1-0 Man Utd
2005: Arsenal 0-0 Man Utd (Arsenal kwa penati 5-4)
2003: Arsenal 1-0Southampton
2002: Arsenal 2-0 Chelsea

No comments:

Post a Comment