BUKOBA SPORTS

Sunday, May 6, 2012

MESSI AZIDI KUPETA AMGARAGAZA RONALDO USIKU HUU, AFUNGA MAGOLI MANNE(4) PEKE YAKE. BARCA WAMUAGA PEP KWA SHANGWE BAADA YA MECHI.!

Three cheers: Barcelona players throw Pep Guardiola in the air at the end of his final game in charge of Barcelona
MATOKEO MECHI ZA USIKU LA LIGA NA WAFUNGAJI WA MABAO

UPINZANI wa Messi na Ronaldo katika kuwania kiatu cha dhahabu usiku huu umezidi kunoga- wakati timu zao zilipokuwa zikicheza mechi za Ligi Kuu ya Hispania, La Liga.Top man: Guardiola has enjoyed huge success at the Nou Camp winning 13 major trophies

Messi amefunga mabao yote manne katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Espanyol, wakati Ronaldo amefunga moja tu Real Madrid ikiilaza Granada 2-1. Messi sasa ana mabao 50 na Ronaldo 45 kila timu ikiwa imebakiza mechi moja kumaliza Ligi. Maajabu gani yatokee Ronaldo ampiku Messi?

Simply the best: Guardiola embraces star player Messi, who scored his 72 goal of the season, at the end of the game
Guardiola Akimkumbatia  Messi na kumpongeza kwa kufikisha magoli 72 kwa msimu huu.

Banner of thanks: The Nou Camp crowd unveil a giant picture of Guardiola during the game with Espanyol
Bango la kumshukuru Guardiola mbele ya umati mkubwa wa mashabiki (Nou Camp) baada ya kuifunga Espanyol magoli manne (4) jana usiku.
Four-midable: Messi scored four goals in the game
                     Messi alifunga magoli manne peke yake jana dhidi ya Espanyol

Record breaker: Messi took his tally for the season to 72
                                              Messi avunja rekodi msimu huu kwa  72
All together: The Barcelona players gather round to congratulate Messi
                        Wote kwa pamoja wachezaji wa Barcelona wakimpongeza Messi

Remember the name: Messi celebrates his goal
                                                                         Messi akishangilia

No comments:

Post a Comment