Redd’s Miss Dar City Center 2012, Matilda Martin (katikati) akiwa na mshindi wa pili, Magdalena Munisi (kushoto) na Mshindi wa tatu, Witness Michael.
Tano Bora
Mkurugenzi wa Miss Tanzania Hasheem Ludenga, akiwakaribisha wageni kabla ya mchakato huo kuanza.
Picha ya pamoja ya washiriki wote.
Meza ya majaji.
Miss Tanzania 2011, Salha Israel nae alikuwepo kushuhudia mtanange huo.
Wadau wa kamati ya Miss Tanzania.
Diamond Platnum alitoa burudani.
Wema Sepetu akifuatilia shoo ya Diamond
Diamond akiwapagawisha mashabiki wake.
Mmoja wa Majaji wa shindano hilo, Wema Sepetu akiuliza maswali kwa warembo walioingia tano bora.
No comments:
Post a Comment