BUKOBA SPORTS

Sunday, August 12, 2012

DOKTA ULIMBOKA STEPHEN AWASILI JIJINI DAR ES SALAAM


Kiongozi wa Jumuiya ya madaktari nchini Tanzania, Dkt. Steven Ulimboka, akiwa amebeba maua, na kuzungukwa na madaktari wenzake na wananchi wwengine, alipowasili nchini Jumapili Agosti 12, 2012, kwenye uwanja wa ndege wa kiamataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam akitokea kwenye matibabu Afrika Kusini. Dkt. Ulimboka alisema yuko "fit" na anaweza kufanya shughuli zozote atakazopewa kuanzia sasa. (picha: Khalfan Said)


Dk. Ulimboka akiwasili leo kutoka nchini Afrika ya Kusini alikokwenda kwa matibabu.

Wanaharakati wakipaza sauti wakati wa mapokezi ya Ulimboka.

Dk. Ulimboka akiwapungia mkono baadhi ya madaktari wenzake waliofika kumpokea

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madakatari Tanzania, Dk. Steven Ulimboka akiwa ameshika ua mara baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam jana, akitokea nchini Afrika Kusini kwa matibabu

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madakatari Tanzania, Dk. Steven Ulimboka akiwa ameshika ua mara baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam jana, akitokea nchini Afrika Kusini kwa matibabu baada ya kutekwa na kuteswa na watu wasiojulikana. Picha ya kulia ikimuonesha Dk. Ulimboka akiwa katika hali mbaya baada ya kuokotwa katika msitu wa Mabwepande, Juni 27.
Baadhi ya Wanaharakati pamoja na Madaktari wakilisukuma gari alilokuwa amepanda Dk Ulimboka mara baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment