Baada ya Arsenal Wenger kumuuza Mshambuliaji hatari Robin Van Persie kwa mahasimu Manchester United mimi ninajifariji na maneno haya ya Kocha wa kuheshimika zaidi Arsenal Wenger...lakini roho inaumaaaaa!!
Nafarijika zaidi na maneno ya Arsene Wenger ninapowakumbuka wachezaji mashuhuri na wakali aliowahi kuwauza na kamwe yeye hajawahi kununua Nyota katika soka..wapige chabo hapo chini.....
Samir Nasri - kwa sasa yupo Manchester City
No comments:
Post a Comment