Sami Hyypia arejea anfield
Ni mechi ambayo ilimhusisha mchezaji wa zamani wa Liverpool Sami Hyypia kurudi tena hapo uwanjani Anfield lakini sasa akiwa kama kocha wa Leverkusen.
Raheem Sterling akishangilia goli lake
Raheem Sterling akishangilia goli lake
Lucas Leiva akifunga
Lucas Leiva akishangilia goli lake
Goli la Leverkusen lilifungwa na mchezaji Gonzalo Castro katika dakika ya 75.
Lucas Leiva akipongezwa.
Andy Carroll akifunga
Joe Allen ndani
Joe Allen ambaye amesajili juzi nae alikuwa uwanjani akishuhudia mechi hiyo.
No comments:
Post a Comment