Hannover ndiyo walitangulia kupata bao baada ya Kipa Lindegaard kuutema mpira na Artur Sobiech kumalizia lakini Man United wakasawazisha kwa bao la Chicharito.
Hadi mapumziko bao zilikuwa 1-1.
Kipindi cha Pili, Hannover walipiga bao mbili na kuwa mbele kwa bao 3-1 lakini Rooney akakomboa moja kwa frikiki tamu na kusawazisha kufanya bao ziwe 3-3 kwa Penati baada ya yeye mwenyewe kuangushwa na Kipa.
Zikiwa zimebaki Dakika 5 Rooney akamtolea pande kwa kichwa Shinji Kagawa ambae alifunga bao la 4 na la ushindi.
Michael Keane akipambana na adui
David De Gea akitema mpira kwenye eneo la hatari
Patrice Evra akichuana vikali na Adrian kuwania mpira
MAGOLI:
Dakika/Mfungaji
Hannover 96
25 Artur Sobiech
48 Karim Haggui
66 Mohammed Abdellaoue
Manchester United
31 Javier Hernandez ‘Chicharito’
69 Wayne Rooney
82 Wayne Rooney [Penati]
85 Shinji KAGAWA
KIKOSI
Man United: Lindegaard; M Keane, Carrick, Vidic, Evra; Nani, Cleverley, Kagawa, Young; Rooney, Hernandez
Akiba: De Gea, Ferdinand, Anderson, Brady, Bebe, Giggs, Valencia, Berbatov
kwa hisani:sokainbongo
kwa hisani:sokainbongo
No comments:
Post a Comment