Fernando Torres akiipatia timu yake Chelsea goli la kwanza kabla ya mapumziko
Chelsea ndio walitangulia kupata bao katika Dakika ya 40 kufuatia ushirikiano mwema kati ya Ramires na Mata kisha Fernando Torres kutikisa nyavu
Lakini Dakika mbili baadaye Refa Kevin Fiend alimtoa kwa Kadi Nyekundu Beki wa Chelsea Ivanovic kwa kile kilichodaiwa rafu mbaya kwa Kolarov.

Yaya Toure akirudisha goli mara baada ya kipindi cha pili kuanza na kufanya 1-1
Tevez akiipatia goli Man city dakika ya 59
Samir Nasri akifanya vitu vyake kutimiza goli 3-1dhidi ya Chelsea
Nasri akifurahia ushindi wake kwa timu yake!
Ryan Bertrand akiipatia goli la pili chelsea na kufanya matokeo yabaki 2-3
No comments:
Post a Comment