Wachezaji hao wakiwa kwenye picha ya pamoja. VONGOZI wa klabu ya Simba jana ulitambulisha wachezaji wake wawili wa kimataifa iliyoingia nao mkataba wa miaka miwili. Utambulisho huo ulifanyika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Thursday, August 16, 2012
SIMBA YATAMBULISHA WACHEZAJI WAKE WAPYA!
Wachezaji hao wakiwa kwenye picha ya pamoja. VONGOZI wa klabu ya Simba jana ulitambulisha wachezaji wake wawili wa kimataifa iliyoingia nao mkataba wa miaka miwili. Utambulisho huo ulifanyika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment