FC Anzhi Makhachkala 1 vs Liverpool 0
Club Brugge KV 2 vs Newcastle United 2
Tottenham Hotspur 3 vs NK Maribor 1
FC Anzhi Makhachkala 1 Liverpool 0
Nafasi ya Liverpool kuingia Raundi ya
Mtoano ya Timu 32 imepata pigo kubwa baada ya kufungwa Bao 1-0 na Timu
inayofundishwa na Guus Hiddink, Anzhi Makhachkala.
MSIMAMO:
[Kila Timu Mechi 4]
KUNDI A
1 FC Anzhi Pointi 7
2 Liverpool 6
3 Young Boys 6
4 Udinese 4
Kikosi cha Liverpool kilichoteuliwa na
Meneja Brendan Rodgers kilikuwa na Wachezaji wengi Chipukizi wasiokuwa
na uzoefu na wakajikuta wakipigwa na Bao la Lacina Traore kabla ya
Haftaimu.
VIKOSI:
Club Brugge 2 Newcastle United 2
Newcastle walitoka nyuma kwa bao 2-0 na kufanikiwa kusawazisha na kutoka sare ya 2-2 walipocheza na Club Brugge.
Matokeo hayo yamewafanya Newcastle waendelee kushikilia uongozi wa Kundi D.
Ivan Trickovski na Jesper Jorgensen ndio
waliofunga Bao za Club Brugge lakini Newcastle wakacharuka na
kusawazisha kupitia Vurnon Anita na Shola Ameobi
KUNDI D
[Kila Timu imecheza Mechi 4]
1 Newcastle Pointi 8
2 Bordeaux 7
3 Brugge 4
4 Maritimo 2
VIKOSI:
Club Brugge: Bojan
Jorgacevic, Carl Hoefkens, Jordi Figueras, Tom Høgli, Michael Almebäck,
Ryan Donk, Vadis Odjidja-Ofoe, Ivan Trickovski (Mohammed Tchité, 45),
Jesper Jørgensen, Maxime Lestienne, Carlos Bacca
Newcastle United: Tim Krul, Fabricio Coloccini, James Tavernier, Michael Williamson,
Gael Bigirimana, Vurnon Anita, Gabriel Obertan, Sylvain Marveaux, Cheik Tioté, Sammy Ameobi, Shola Ameobi
Refa: Luca Banti
Tottenham 3 Maribor 1
Jermain Defoe amepiga hetitriki na kuipa
Tottenham ushindi wa Bao 3-1 dhidi ya NK Maribor na kufufua matumaini
yao ya kufuzu baada ya kutoka sare Mechi zao zote 3 kwanza.
KUNDI J
1 Lazio Pointi 8
2 Tottenham 6
3 Maribor 4
4 Panathinaikos 2
VIKOSI:
Tottenham: Lloris, Walker, Dawson, Vertonghen, Naughton, Lennon, Huddlestone, Carroll, Bale, Defoe, Adebayor
Akiba: Cudicini, Dempsey, Gallas, Sigurdsson, Falque, Livermore, Mason.
Maribor: Handanovic, Milec, Rajcevic, Arghus, Mejac, Cvijanovic, Mertelj, Filipovic, Ibraimi, Tavares, Beric
Akiba: Pridigar, Vidovic, Mezga, Komazec, Potokar, Viler, Dodlek.
Refa: Antti Munukka (Finland)
MATOKEO:
Alhamisi Novemba 8
FC Anzhi Makhachkala 1 Liverpool FC 0
Udinese Calcio 2 BSC Young Boys 3
A. Académica de Coimbra 2 Club Atlético de Madrid 0
FC Viktoria Plzen 4 Hapoel TelvAviv 0
Olympique de Marseille 2 VfL Borussia Mönchengladbach 2
Fenerbahçe SK 2 AEL Limassol FC 0
Club Brugge KV 2 Newcastle United 2
FC Girondins de Bordeaux 1 CS Marítimo 0
Molde FK 1 FC Steaua Bucuresti 2
FC København 0 VfB Stuttgart 2
AIK 1 PSV Eindhoven 0
SSC Napoli 4 FC Dnipro Dnipropetrovsk 2
FC Basel 1893 1 Videoton FC 0
Sporting Clube de Portugal 1 KRC Genk 1
Neftçi PFK 0 FC Rubin Kazan 1
FK Partizan 1 FC Internazionale Milano 3
Hapoel Kiryat Shmona FC 1 AC Sparta Praha 1
Athletic Club 2 Olympique Lyonnais 3
S.S. Lazio 3 Panathinaikos FC 0
Tottenham Hotspur FC 3 NK Maribor 1
FC Metalist Kharkiv 3 Rosenborg BK 1
Bayer 04 Leverkusen 3 SK Rapid Wien 0
Hannover 3 Helsingborgs IF 2
FC Twente 0 Levante UD 0
No comments:
Post a Comment