BUKOBA SPORTS

Saturday, June 1, 2013

ILLUMINATHA DOMINICK NDIYE REDD'S MISS MULEBA 2013 KUTOKA RUBYA.


Mshindi wa Redd's Miss Muleba Illuminatha Dominick akitabasamu mara baada ya kutangazwa usiku.
Mshindi wa pili kushoto Linah Mutayoba na kulia ni mshindi wa wa tatu Fransisca
Kujificha kwa tabasamu ni vigumu
Ushindi mtamu...
Babylove Kalalaa ndiye aliyekuwa ameshikilia taji na sasa ameliachia Illuminatha kwa mwaka huu 2013
Washiri wote wa redd's Miss Muleba kwenye show ya pamoja
Dj Slay akiwa na ashirafu kalumuna wakifuatilia show
Kijana wa masauti ya Wanyama Ommy mkali wa kuiga sauti za wanyama akitoa burudani
Washiriki wakionesha vituzi jukwaani kila mmoja akitaka namba..

Hapa ni Chief jaji Jamal Kalumuna akitangaza top 5
Chief Judge Jamal Kalumuna (Jamco) akitambulisha uwepo wake Miss Talent 2012 Babylove Kalalaa miss anayemaliza muda wake na akisubiri mrithi wake

Mgeni rasmi Mkuu wa Wilaya ya Muleba Lembris Kipuyo akifuatilia show
Mr & Mrs tere Gama Meneja wa Mali juice Muleba
Mgeni rasmi Mkuu wa Wilaya ya Muleba Lembris Kipuyo na aliyekaa (kushoto) ni kaimu afisa Utamaduni Wilaya ya Muleba Bw. Kamaleck
Furaha siku zote uwa hazijifichi kamwe na hapa ni majaji wakitoa Tabasamu la aina yao baada ya Warembo kulindima jukwaani



Majaji wakitafuta mbinu za kumpata mshindi kila mmoja na kalamu yake...




Bw.Varelian kushoto akiwa pamoja na wadau

Majaji ilikuwa kazi ngumu kupata tano bora...maana nao waliburudishwa kisawasawa!!!

Kwisha....!!!

Pongezi zikitiririka pasipo lazima ni kama kawaida  kwenye Redd's..

Uhondo ukiendelea kuwakamata wakina Dadaz

Wazazi walijitokeza kwa wingi kuja kuona wanao wakichuana

Wadau wakiwapa sapoti japo ya makofi huku wakiburudishwa vilivyo kwenye ukumbi wa Waisuka Muleba
Kazi kweli kweli
Wazazi nao waliendelea vizuri na ratiba huku kila mmoja akiwa anajiuliza nani mshindi na nani anafata huku wakiwa wanajua vitu kama Mvuto, Umbo, Tabasamu, Cutwalk pamoja na uelewa ni vitu muhimu sana.
Ni kama roboti likijinasua kuweka mambo sawa tayari kuanza kwa show
Vijana wa Dayna Nyange wakifanya mambo


Dayna Nyange akivutwa hapa kutoa burudani

Mwanamuziki Dyna Nyange akiburudisha mashabiki







Mama na Mwana..
Chukua taji hilo...!!!

Illuminatha Dominick akitabasamu kwenye kamera ya Bukobasports.com
Picha ya Pamoja waandaaji picha ya pamoja

wadau kutoka Bukoba mjini

No comments:

Post a Comment