Wilshere na Tomas Rosicky
Wachezaji wa Gunners David Ospina, Jack Wilshere, Wojciech Szczesny na Emiliano Martinez leo wakati wa mazoezi yao kujiandaa kukipiga na Timu ya Middlesbrough kesho jumapili kwenye mchezo wa Raundi ya Tano Kombe la FA CUP.
Nacho Monreal, Hector Bellerin na Santi Cazorla
Jack Wilshere akiwaza jambo juu ya mechi ngumu ya kesho kati yao na Middlesbrough
Cazorla kucheza kesho? Leo Kafanya mazoezi
Mesut Ozil akijiweka fiti kwa ajili ya mchezo wa kesho jumapili FA CUP
Meneja wa Arsenal Arsene Wenger akiwacheki vijana wake leo kwenye Uwanja wa Mazoezi London Colney
Wilshere dhidi ya Mathieu Flamini leo kwenye Mazoezi
Mchezai na Fowadi wa Klabu ya Arsenal Chuba Akpom akichuana na mwenzake wa timu hiyo Gabriel Paulista leo wakati wa mazoezi kwenye Uwanja wa London Colney
No comments:
Post a Comment