BUKOBA SPORTS

Monday, January 21, 2013

BAADA YA KUTOSHANA NGUVU NA SPURS, MANCHESTER UNITED WAKIMBIA BARAFU ENGLAND, WAFANYIA MAZOEZI QATAR DOHA KWA MAZOEZI KUJIANDAA NA FA NA FULLHAM WIKI IJAYO.

Barafu uwanjani ambalo limewakimbiza wachezaji mpaka Qatar ambako huko ni jua kwa sasa Doa ni 24c Wachezaji wa Manchester United wakifanya mazoezi Aspire Academy huko Doha
mazoezi mwanzo mwisho

Wachezaji wakifatana na mkufunzi  Aspire Academy baada ya kazi ya jana jumapili

Bayern Munich na Schalke hivi karibuni wametumia Uwanja hivi vya Aspire Academy ambao ulizinduliwa kitaifa mwaka 2004 kwa lengo la kukuza michezo nchini humo.Aspire Academy was formed in Qatar in 2004, looking to bring and develop sporting excellence to the country, regardless of their social or economic class. Their mission is to ‘Develop exceptional sport champions who are highly educated leaders and help individuals realize healthy active sporting lifestyles.’They pride themselves with world class facilities, which have attracted the attention of such clubs as Bayern Munich in recent months, and a scouting network that tirelessly works all across the globe and sees almost 500,000 13-15 year olds trialled every year, 23 of which make the cut.Picha ya mapemaMideast Qatar Manchester United Training SoccerRooney na Powell

No comments:

Post a Comment