BUKOBA SPORTS

Tuesday, January 22, 2013

MAANDALIZI YA MAPAMBANO YA NGUMI JUMAMOSI HII YAKUIANDAA TIMU YA MKOA WA KAGERA KWA AJILI YA MASHINDANO YA LIGI YA TAIFA YA NGUMI DAR ES SALAAM.

Mwalimu akiangalia wanafunzi wake wakijifua leo hii kwenye fukwe za Kiroyera


Nyoosha viungo..
mazoezi yakiendelea..




Willy akiendelea kuongea na vijana Ufukeni hapo kuhusu mitanange hiyo ya Jumamosi
Mwalimu mfano wa kuigwa..
Bw. Willy O.Rutta  ambaye ni katibu wa chama cha ngumi mkoa wa Kagera akiteta na wanamasumbwi waliojitokeza leo hii. Akiongea na Bukobasports.com Willy amesema kuwa itakuwa ni siku ya kipekee siku hiyo ya jumamosi na pia wasanii kutoka Dar es salaam watakuwepo kwa Burudani na Wanamasumbwi Maarufu watakuwepo siku hiyo.

Mwanamasumbwi(kushoto) akiwa amechemka kweli kweli na mazoezi leo asubuhi


Zoezi likiendelea ..

mwalimu na yeye akifanya mazoezi hapa(kulia) ni Bw. Willy katibu wa chama cha ngumi mkoa wa Kagera akionesha kipaji hapa.

Katibu wa chama cha ngumi mkoa wa Kagera Bw. Willy O.Rutta akiongea kuhusu mapambano hayo ya  jumamosi yatakayofanyika kwenye ukumbi wa Lina's Bukoba
Wakiruka kamba

No comments:

Post a Comment