MAANDALIZI YA MAPAMBANO YA NGUMI JUMAMOSI HII, KUPATA TIMU YA MKOA WA KAGERA KWA AJILI YA MASHINDANO YA NGUMI ZA RIDHAA KITAIFA DAR ES SALAAM.
Mwalimu akiangalia wanafunzi wake wakijifua leo hii kwenye fukwe za Kiroyera Nyoosha viungo.. mazoezi yakiendelea.. Wanamasumbwi wakijifua Willy akiendelea kuongea na vijana Ufukeni hapo kuhusu mitanange hiyo ya Jumamosi Mwalimu mfano wa kuigwa.. Bw. Willy O.Rutta ambaye ni katibu wa chama cha ngumi mkoa wa Kagera akiteta na wanamasumbwi waliojitokeza leo hii. (kulia) ni Mwenyekiti
wa Chama cha Mkoa Kagera. Akiongea na Bukobasports.com Willy amesema
kuwa itakuwa ni siku ya kipekee siku hiyo ya jumamosi na pia wasanii
kutoka Dar es salaam watakuwepo kwa Burudani na Wanamasumbwi Maarufu
watakuwepo siku hiyo. Mwalimu wa ngumi wa klabu ya Mafumbo boxing (kushoto) kulia ni Faraji Hamisi Mwanamasumbwi(kushoto) akiwa amechemka kweli kweli na mazoezi leo asubuhi Zoezi likiendelea ..
Mwalimu na yeye akifanya mazoezi hapa(kulia) ni Bw. Willy katibu wa chama cha ngumi mkoa wa Kagera akionesha kipaji hapa. Katibu
wa chama cha ngumi mkoa wa Kagera Bw. Willy O.Rutta akiongea kuhusu
mapambano hayo ya jumamosi yatakayofanyika kwenye ukumbi wa Lina's
Bukoba Wakiruka kamba
No comments:
Post a Comment