Newcastle United imemsaini Beki Mapou Yanga-Mbiwa kutoka Klabu ya France Montpellier kwa Ada ambayo haikutajwa lakini inasadikiwa kuwa £6.7m. Beki huyo wa France mwenye Miaka 23 amesaini Mkataba wa Miaka 5 na nusu. Na wakati huo huo, Yoan Gouffran, Fowadi wa Klabu nyingine ya France, Bordeaux, ametoboa kuwa yuko njiani kujiunga na Newcastle.Mapou Yanga-Mbiwa akifanya mazoezi
No comments:
Post a Comment