BUKOBA SPORTS

Sunday, February 3, 2013

AFCON 2013: GHANA 2 vs CAPE VERDE 0, GHANA WASONGA MBELE KUCHEZA NUSU FAINALI


Ghana 2-Cape Verde 0

Ghana imeingia nusu fainali baada ya kuicharaza Cape Verde 2-0 katika mchezo wa kwanza wa robo fainali.
Ghana imepata bao la kwanza katika kipindi cha pili likifungwa na Mubarak Wakaso kwa njia ya penalti katika dakika ya 54.
Wakaso tena iliihakikishia Ghana kusonga mbele baada ya kufunga bao la pili katika dakika ya tisini.
Super sub: Wakaso Mubarak was the hero for Ghana as he scored both goals, including this penalty
Wakaso Mubarak akifunga goli
Kwa matokeo hayo Cape Verde imeyaaga rasmi mashindano ya mwaka huu ya Kombe la Mataifa ya Afrika.
Hata hivyo Cape Verde ambayo imeshiriki kwa mara ya kwanza ilionyesha upinzani mkubwa na michuano hiyo inayoendelea nchini Afrika Kusini.
Mchezo kati ya Ghana na Cape Verde ulifanyika mjini Port Elizabet
Mechi nyingine hii leo itazikutanisha wenyeji wa michuano hii, Afrika Kusini kwa kupambana na Mali mjini Durban.
Match winner: Wakaso added a second late on to send Ghana into the semi-finals
Wakaso na wachezaji wakifurahia ushindi huo mnono
Contenders: Ghana have made the semi-finals four times in a row but they haven't won the tournament since 1982
Ghana hii ni mara ya nne kuingia lakini hawajawahi kushinda mashindano haya tangu 1982
Gallant: Cape Verde piled on the pressure in the second half but they couldn't find a way past Fatawu Dauda
Cape Verdewaliongeza nguvu zaidi kipindi cha pili lakini mambo yakawa nayo magumu kukatiza ngome ya Ghana.

Wachezaji wa Ghana wakishangilia baada ya kufanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya michuano ya mataifa ya Afrika kufuatia kuichapa Cape Verde kwa mabao 2-0 mchezo uliopigwa katika mji wa Port Elizabeth.

VIKOSI:
Ghana: Dauda, Pantsil, Boye, Vorsah, Afful, Rabiu (Derek Boateng 84), Agyemang-Badu, Adomah (Wakaso 47), Asamoah, Atsu (Asante 78), Gyan.
Subs Not Used: Agyei, Richard Boateng, Awal, Annan, Akaminko, Clottey, Boakye, Mensah.
Booked: Rabiu, Pantsil, Afful.
Goals: Wakaso (pen) 54, 90.
Cape Verde: Vozinha, Nivaldo, Varela, Nando, Carlitos, Marco Soares, Tony (Djaniny 67), Babanco, Nhuck, Tavares (Ze Luis 80), Ryan Mendes (Platini 51).
Subs Not Used: Fredson, Stenio, Guy Ramos, Josimar, Gege, Rony, Pecks.
Booked: Babanco, Carlitos, Ze Luis.
Att: 8,000
Ref: Rajin Seechurn (Mauritius).

No comments:

Post a Comment