Baada ya Kagera Sugar kupoteza Michezo milwili sasa wanajipanga upya kuikabili Mgambo Shooting leo kwenye Uwanja wa Nyumbani Kaitaba Stadium Kuikaribisha Mgambo Shooting, Mchezo utakaochezwa Leo tarehe 9.02.2013. Mwamuzi wa mechi hiyo atakuwa Amon Paul kutoka Musoma mkoani Mara.
Saturday, February 9, 2013
KAGERA SUGAR WAKIJIFUA KWA AJILI YA MCHEZO WAO WA LEO HII NA MGAMBO SHOOTING VPL KWENYE UWANJA WA KAITABA STADIUM, MWAMUZI AMON PAUL KUTOKA MUSOMA KUCHEZESHA MTANANGE HUO.
Baada ya Kagera Sugar kupoteza Michezo milwili sasa wanajipanga upya kuikabili Mgambo Shooting leo kwenye Uwanja wa Nyumbani Kaitaba Stadium Kuikaribisha Mgambo Shooting, Mchezo utakaochezwa Leo tarehe 9.02.2013. Mwamuzi wa mechi hiyo atakuwa Amon Paul kutoka Musoma mkoani Mara.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment