MAAFALI YA KWANZA KIDATO CHA SITA JOSIAH GIRLS' HIGH SCHOOL BUKOBA YAFANA 23.02.2013
Wahitimu wa kidato cha sita katika shule ya sekondari ya Josiah wakiingia ukumbini Picha ya pamoja na mgeni rasmi Mkuu wa mkoa wa Kagera,Kanali mstaafu Fabian Massawe (kushoto)Methodius Kilaini askofu msaidizi wa jimbo la Bukoba.
Raha za kumaliza form six Wageni wakitembea kuona mazingira ya shule hiyo ya shule ya sekondari ya Josiah shule ya sekondari ya Josiah
Baadhi ya wageni walioudhuria mahafali ya kwanza ya shule ya sekondari ya Josiah (Kushoto) askofu msaidizi wa jimbo la Bukoba Methodius KilainiMeza kuu Bw. Ernest Nyambo (katikati) akiendelea kusikiliza Hotuba ya Mgeni Rasmi Mkuu wa mkoa Kanali mstaafu Fabian Massawe Walimu Bw. Ernest Nyambo akiendelea kusikiliza Hotuba ya Mgeni Rasmi Mkuu wa mkoa Kanali mstaafu Fabian Massawe Mc katika Sherehe hiyo Watangazaji wa radio Kasibante Fm 88.5 wakiwa kazini... Mtangazaji wa Radio Kasibante akiendelea na kazi yake ya kutega mawimbi eneo hilo la Josiah Girls Wageni mbalimbali katika sherehe hizo za maafali ya kidato cha sita Josiah Baadhi ya wajumbe kamati ya shule Mgeni rasmi Mkuu wa mkoa wa Kagera,Kanali mstaafu Fabian Massawe Mwenyekiti wa bodi ya shule, Johansen Rutabingwa(katikati) kushoto niMkuu wa mkoa wa Kagera,Kanali mstaafu Fabian Massawe Wahitimu wa kidato cha sita Wahitimu wa kidato cha sita Askofu msaidizi wa jimbo la Bukoba Methodius Kilaini akisalisha sala maalum ya kufungua Sherehe Mkuu wa shule ya Josiah sekondari,Adella Kashushula akitambulisha Mkuu wa shule ya Josiah sekondari, Adella Kashushula katikati ni Mgeni rasmi Mkuu wa mkoa wa Kagera,Kanali mstaafu Fabian Massawe na kulia ni Mwenyekiti wa bodi ya shule, Johansen Rutabingwa.
No comments:
Post a Comment