Profesa Jay (kulia) na Nick Mbishi wakifurahia baada ya kunogeshwa na wakali hao.
DJ Juice akipangilia ‘beat’ katika kipute hicho.
Malkia wa mipasho, Khadija Kopa (kulia) akiserebuka na mashabiki wake ukumbini hapo.
WASHIRIKI wa kinyang’anyiro cha kumsaka ‘The Mic King’ kinachotimua vumbi kila Jumapili ndani ya Ukumbi wa Dar Live ambacho mshindi anatarajiwa kujinyakulia gari jipya la kisasa, jana usiku walimtoa jasho mkali wa rap hapa nchini, Joseph Haule ‘Profesa Jay’ kwa kuchana mistari ya nyimbo zake kiufasaha.
No comments:
Post a Comment