England, kwa kuifunga Brazil, wamepanda hadi nafasi ya 4 huku Ivory Coast ndio Timu toka Afrika iliyo juu kabisa ikiwa nafasi ya nafasi ya 12 baada ya kupanda nafasi kadhaa.
Mabingwa wapya wa Afrika, Nigeria, wamepanda nafasi 22 na sasa wapo nafasi ya 30 na Timu waliyoifunga Fainali, Burkina Faso, imepanda nafasi 37 na wapo nafasi ya 55.
Listi nyingine ya FIFA ya Ubora Duniani itatolewa Mwezi ujao hapo Machi 14.
1. Spain
2. Germany
3. Argentina
4. England
5. Italy
6. Colombia
7. Portugal
8. Netherlands
9. Croatia
10. Russia
No comments:
Post a Comment