BUKOBA SPORTS

Thursday, April 4, 2013

YANGA YAANIKA WAZI MCHORO WA UWANJA WAO UTAKAOCHUKUA WATU 40,000

Huu ndio Uwanja Mpya wa Yanga utakaojengwa na Kampuni ya Beijing Construction Engineering Group mapema mwaka huu. Mkataba wao utaingiwa mwishoni mwa mwezi wa tano.
Katibu Mkuu wa Yanga, Lawrence Mwalusako wa tatu kutoka kushoto mstari wa kushoto akifuatilia kwa karibu mazungumzo na kampuni watakayoipa kazi ya ujenzi wa Uwanja wao.
Mambo ndivyo yalivyokuwa kwenye kuonyeshwa uwanja huo wa kisasa wa Yanga.
Uwanja mpya wa Yanga utakuwa hivi.

Francis Kifukwe kulia anapewa somo na wataalamu wa Kampuni hiyo
Picha ya pamoja kati ya viongozi wa Yanga na kampuni hiyo.
Hapa wanaangalia uwanja utakavyokuwa katika kikao hicho.
Hapa tumelamba dume. Duh? Simba watatukomaaaaaaaaa..
Kila la kheri Yanga katika safari hiyo ya kuhakikisha kuwa timu inakuwa na uwanja wake wa kisasa kabisa.

No comments:

Post a Comment