BUKOBA SPORTS

Tuesday, July 2, 2013

RAIS BARRACK OBAMA AKIONYESHA KIWANGO!

Rais wa Marekani, Barack Obama, akipiga kichwa mpira mara baada ya kutembelea mitambo ya umeme ya Symbion iliyopo Ubungo jijini Dar es Salaam. Mpira anaoupiga Obama una uwezo wa kutoa nishati ya umeme kama kuwasha taa, kuchaji simu na mengineyo. Mpira huo unajaa unapodundwa au kuchezwa.
Rais Obama akipiga danadana!!!
Obama-radonaRais Obama na Rais Jakaya Kikwete walianza kutoa burudani la soka kabla
U.S. President Barack Obama and first lady Michelle Obama board the Air Force One in Dar es Salaam
Rais wa U.S. Barack Obama na first lady Michelle Obama wakipanda ndege yao ya Air Force One leo jijini Dar es Salaam tayari kwa safari!!
So long Tanzania: With a wave, Barack and Michelle Obama say goodbye to president Kikwete and his wife before boarding Airforce One to fly home
Rais Barack na Michelle Obama wakiwapungia mikono wenyeji wao Kikwete na mkewe leo hii Airforce One kabla aijapaa kuelekea Marekani
Goodbye Africa: President Barack Obama and first lady Michelle Obama wave from Air Force One before heading back to the U.S.
Kwaher Africa!!! Barack Obama na first lady Michelle Obama wakipunga mikono wote wawili kuwaaga na kuelekea Marekani leo hii.
Rais Jakaya Kikwete, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Sadick na Balozi wa Marekani nchini, Alfonso (kulia) wakiipungia ndege iliyokuwa inapaa.Rais Barack Obama na mkewe Michelle wakiwaaga watanzania leo kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam leo, alipokuwa akiondoka kurudi kwao Marekani baada ya ziara ya siku mbili nchini.
Air Force One takes to the sky as a Tanzanian honor guard stands to attention
Air Force One ikichukua sura mpya ya kupaa na kuacha ardhi ya Tanzanian

No comments:

Post a Comment