Mabao mawili yaliyotiwa kimiani na mshambuliaji Fraizer Campbell yameipa ushindi Cardiff City wa magoli 3-2 dhidi ya Manchester City leo kwenye uwanja wa Cardiff.
Edin Dzeko alikuwa ametangulia kuifungia bao City kunako dakika ya 52 lakini likasawazishwa baadae na Aron Gunnarsson.
*Leo usiku Saa 4:00 usiku Manchester United wataikaribisha Chelsea kwenye uwanja wao wa Old Trafford.
No comments:
Post a Comment