BUKOBA SPORTS

Friday, August 30, 2013

MASHINDANO YA NGUMI TEMEKE KUMALIZIKA LEO


Bondia Mohamedi Nassibu akinyooshwa mkono juu kuashilia mshindi wakati wa mashindano ya wazi ya mchezo huo yanayoenderea katika ukumbi wa CCM Kata 15 Temeke mwisho

Wasimamizi wa mashindano hayo wakifatilia kwa makini kushoto niRemmy Ngabo na Majeshi Kibilabila

Bondia Mussa Mohamed Kushoto akimshambulia Mselemi Abbas wakati wa mashindano ya wazi ya mchezo wa masumbwi yanayoenderea katika ukumbi wa CCMKata 15 Temeke mwisho Mohamedi alishinda kwa point

Bondia Mussa Mohamed Kushoto akinyoshwa kuwa mshindi baada ya mpambano huo

mabondia wakiwa katika picha ya pamoja







Mabondia Mussa Kimweri kushoto na Iddi Pialali wakiwa katika picha ya pamoja












Mabondia Mussa Kimweri












Mabondia wakioneshana umwamba wa kutupiana makonde





Bondia nasa Mafuru akioneshwa kuwa yeye ni bingwa Dhidi ya Mussa Kimweri wakati wa mashindano ya wazi

Mabondia Omari Kimweri kulia na Nasa Mafuru wakiwa wamepozi

No comments:

Post a Comment