Mshindi: Bao la Neymar katika mechi ya kwanza limempa taji la kwanza Barcelona
Neymar (kulia) akiwa na mchezaji mwenzake, Dani Alves na Super Cup ya Hispania
Mabingwa: Barcelona wamesherehekea rekodi ya kutwaa Super Cup ya 11 Hispania dhidi ya Atletico Madrid
Mchuano: Lionel Messi (kulia) akipambana na David Villa
Juanfran wa Atletico Madrid (kushoto) akigombea mpira wa juu na Neymar wa Barcelona (kulia)
Anapaa: Cesc Fabregas akiwatoka Joao Miranda na Mario Suarez (kulia)
Mchezaji mwenzake wa zamani: Gerard Pique (kulia) akipambana na mshambuliaji wa Atletico, David Villa
Bao la wazi: Nyota wa Barcelona, Neymar akisikitika baada ya kukosa bao
Anavuta jezi: Arda Turan wa Atletico akimvuta jezi Messi
Barcelona
|
Atlético Madrid
|
|
Possession
|
78%
|
22%
|
Total Shots
|
8
|
8
|
Shots on Target
|
1
|
3
|
Pass Accuracy
|
90%
|
69%
|
Fouls
|
9
|
27
|
Offsides
|
0
|
2
|
Yellow Cards
|
3
|
3
|
Red Cards
|
0
|
2
|
No comments:
Post a Comment