Manchester City wameikosa nafasi ya kuongoza Ligi baada ya kufungwa Bao 3-2 na Aston Villa Uwanjani Villa Park.
Yaya Toure ndie aliefunga Bao la kwa kwanza kwa City na Villa kusawazisha kwa Bao la Karim El Ahmadi lakini Edin Dzeko akafunga Bao la pili kwa City.
Aston Villa wakasawazisha kwa frikiki ya Leandro Bacuna na Andreas Weimann kuwafungia Bao la 3 katika Dakika ya 75.
No comments:
Post a Comment