Aaron Ramsey ameifungia Arsenal Bao 2 walipoitandika Sunderland Bao 3-1 huko Stadium of Light.
Mchezaji mpya wa Arsenal, Mesut Ozil, ambae alicheza vizuri, ndie aliempa pasi Olivier Giroud kufunga Bao la Dakika ya 11 lakini Sunderland walisawazisha kwa Bao la Penati ya Craig Gardner katika Kipindi cha Pili.
Lakini baada ya Ramsey kufunga Bao la Pili kwa Arsenal, Refa Martin Atkinson alileta utata mkubwa pale Jozy Altidore alipomtoka Bacary Sagna na kufunga Bao lakini Refa huyo aliashiria kuwa Sagna alicheza Faulo kabla Bao kufungwa na kuwaacha Sunderland wakilalamika kwanini Bao halikubaki.
Hata hivyo, Ramsey akafunga Bao la 3 na kuwanyamazisha Sunderland na kuipa Arsenal ushindi wa Bao 3-1.
Olivier Giroud akifurahi na Mesut Ozil baada ya kuipatia bao Arsenal
Sunderland (4-2-4): Westwood 7; Celustka 6, Diakite 5,
Roberge 6, Colback 6; Vaughan 5 (Gardner 46, 8) Ki 6; Johnson 7, Fletcher 6
(Wickham 77), Altidore 6, Mavrias 5 (Borini 72, 6).
Subs not used: Brown,
Larsson, Cuellar, Mannone.
Goal: Gardner 48 (pen)
Booked: Gardner.
Arsenal (4-2-3-1): Szczesny 6; Jenkinson 7, Sagna 6,
Koscielny 7, Gibbs 7; Flamini 7, Wilshere 7; Ozil 9 (Vermaelen 80), Ramsey 8,
Walcott 6 (Monreal 88); Giroud 7 (Akpon 90+3).
Subs not used: Frimpong,
Miyaichi, Akpon, Gnabry, Fabianski. Booked: Flamini, Sagna.
Goals: Giroud 11, Ramsey 67, 76.
Referee: Martin Atkinson 5
Att: 39.055
LIGI KUU ENGLAND
RATIBA/MATOKEO:
Jumamosi 14 Septemba
Man United 2 Crystal Palace 0
Aston Villa 1 Newcastle United 2
Fulham 1 West Bromwich Albion 1
Hull City 1 Cardiff City 1
Stoke City 0 Manchester City 0
Sunderland 1 Arsenal 3
Tottenham Hotspur 2 Norwich City 0
19:30 Everton 1 v Chelsea 0* unaendelea kipindi cha 1 kimeisha.
LIGI KUU ENGLAND
RATIBA:
Jumapili 15 Septemba
18:00 Southampton v West Ham United
Jumatatu 16 Septemba
22:00 Swansea City v Liverpool
No comments:
Post a Comment