
Mzee Yusuf akiwapagawisha mashabiki waliofurika Dar Live usiku wa kuamkia leo

Mashabiki wakiwa wamembeba juujuu mlemavu ambaye alipagawa na burudani za Jahazi.

Khadija Yusuf akijinafasi stejini.

Jukwaa likiwa juu wakati Leila Rashid akiwapa raha mashabiki.

Mzee Yusuf (kushoto) akiwa na Dude 'Yahaya' wakiimba kwa pamoja.

Mzee Yusuf akiendelea kuzikonga nyoyo za mashabiki waliofurika Dar Live.

Mcharaza gitaa wa Jahazi, Musa Musa akiwa kazini. Pembeni ni mabango ya wadhamini.

Wanamuziki wa Jahazi wakiimba kwa pamoja.

Leila Rashid akiwapagawisha mashabiki.

Baadhi ya wasanii wa filamu wakiwasalimia wasanii jukwaani

Mashabiki
No comments:
Post a Comment