BUKOBA SPORTS

Sunday, September 1, 2013

MISS UTALII TANZANIA 2012/13 KWENDA KUSHIRIKI MISS TOURISM WORLD 2013


Mshindi wa taji la Taifa la Miss Utalii Tanzania 2012/2013, Hadija Saidi Juma Mswaga, ambaye pia ni Miss Utalii Morogoro 2012/13, ataondoka nchini 28-9-2013 kwenda nchini Equatorial Guinea, ambako Fainali za Dunia za Miss Tourism World 2013/14 zinafanyika Tarehe 12-10-2013 katika ukumbi wa kimataifa wa Sipopo Conference Centre Malabo Equatorial Guinea. Kwa mujibu wa Taarifa iliyo tolewa na Fredy Njeje, mkurugenzi wa Habari na Masoko wa Miss Tourism Tanzania Organisation (MTTO), jumla ya washiriki kutoka nchi 126 Duniani watashiriki katika mashindano hayo ya Dunia,ambayo
 

No comments:

Post a Comment