Mushi amempiga risasi ya tumbo na mguuni Ufuo ambaye mpaka sasa anaendelea na matibabu Hospitali ya Tumbi Kibaha na tukio hili limetokea Kimara. Baada ya tukio hilo, Mushi alijipiga risasi kufa papo hapo. SOURCE RADIO ONE
Sunday, October 13, 2013
MTANGAZIJI WA ITV UFO SARO AJERUHIWA KWA RISASI KIMARA JIJINI DAR ES SALAAM LEO ALFAJIRI, MAMA YAKE MZAZI AFARIKI DUNIA HAPO HAPO!
Mushi amempiga risasi ya tumbo na mguuni Ufuo ambaye mpaka sasa anaendelea na matibabu Hospitali ya Tumbi Kibaha na tukio hili limetokea Kimara. Baada ya tukio hilo, Mushi alijipiga risasi kufa papo hapo. SOURCE RADIO ONE
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment