Nahodha wa timu ya Fahari Huduma, Shaban Badi akipokea kombe kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Dk. Charles Kimeia wakati wa sherehe ya Siku ya Familia iliyofanyika Kunduchi Hoteli jijini Dar es Salaam.
Washindi wa mpira wa wavu wakipokea zawadi ya kombe.
Furaha ya ushindi.
Mshindi wa kucheza muziki, Messi Dyama akipokea zawadi pamoja na fedha sh. 100,000 kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei.
Wanamuziki wa Skylight band wakiongozwa na Meneja wa bendi hiyo, Aneth Kushala akiimba wakati wa sherehe hiyo.
Watu wengi walijitokeza.
Watoto wakicheza katika bwawa la kuogelea.
Watoto wakiogelea.
No comments:
Post a Comment