Saturday, December 21, 2013

FULHAM 2 v MANCHESTER CITY 4, CITY YAJIANIKA NAFASI YA PILI!

FULHAM 2 v MANCHESTER CITY 4
Manchester City wamepanda hadi Nafasi ya Pili katika Msimamo wa Ligi baada ya kuichapa Fulham Bao 4-2 huko Craven Cottage.
Yaya Toure ndie aliefunga Bao la kwanza na Vincent Kompany kufunga Bao la pili lakini Fulham wakapata Bao moja Mfungaji akiwa Kieran Richardson na Vincent Kompany kujifunga mwenyewe na Gemu kuwa 2-2.

Yaya Toure akishangilia bao lake baada ya kuifungia  Manchester City
Jesus Navas akaipatia Man City Bao la 3 baada kuunganisha krosi ya David Silva na James Milner kufunga Bao la 4.Captain's strike: Kompany have the visitors a 2-0 lead just before half-time
Kompany akifanya 2-0
Majanga...
Back in it: Kieran Richardson halved Fulham's deficit five minutes after the break
Kieran Richardsonakishangilia..
Mistake: Kompany reacts after steering the ball into his own net n a comical own goal
Kompany akijilaumu baada ya kujifunga

Desperate: Navas ran in to try and prevent Kompany's wild clearance from going in the net
Navas akiwajibika....

Disaster: Both Navas and Joe Hart were helpless as the ball rolled into the back of the net
VIKOSI:
Fulham: Stekelenburg 5; Riether 6, Senderos 5 (Amorebieta 37, 5), Hughes 6, Riise 6; Karagounis 7 (Bent 82), Parker 7, Sidwell 6; Richardson 6, Dejagah 7 (Kasami 65); Taarabt 6.
Subs not used: Ruiz, Kacaniklic, Stockdale, Duff.
Goals: Richardson 50, Kompany (og) 69.
Booked: Karagounis.
Man City: Hart 6; Clichy 6, Kompany 6, Demichelis 6, Kolarov 6; Nasri 7 (Milner 75), Fernandinho 7, Toure 8, Silva 7 (Garcia 84); Dzeko 6 (Navas 58, 7), Negredo 7.
Subs not used: Javi Garcia, Rodwell, Pantilimon, Boyata, Guidetti.
Goals: Toure 23, Kompany 43, Navas 78, Milner 83.
Booked: Demichelis.
Referee: Kevin Friend.

No comments:

Post a Comment