
Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) Jamali Malinzi (katikati) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari jana kuhusu siku 100 tangu walipoingia madarakani. Kulia ni msaidizi wa Rais masuala ya Ufundi, Pelegrinius Rutahyuga na kushoto ni Ofisa Habari wa TFF, Boniface Wambura.

No comments:
Post a Comment