BUKOBA SPORTS

Tuesday, February 11, 2014

MBEYA CITY NA MTIBWA ZAINGIZA MILIONI 25.6 UWANJA WA SOKOINE, MBEYA

JUMLA ya shilingi milioni 25,602,000 zimepatikana katika mechi ya Mbeya City na Mtibwa Sugar iliyochezwa katika uwanja wa kumbukumbu wa Sokoine na timu ya Mbeya City ambayo ilishinda kwa goli 2-1 hapo Jumapili Februari 9, 2014.

Kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya Ahmed Msangi akikagua timu ya Mbeya city

Kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya Ahmed Msangi akikagua timu ya Mtibwa

Mbeya City

Mtibwa Sugar

Mtanange uwanjani

Hekaheka lango la Mtibwa


Lalalalal-lallaaaaa-laaaalaaaaaaaaaaaa.... anadaka pale

WADAU WA MICHEZO WOTE KUTOKA MIKOA YA NYANDA ZA JUU KUSINI IRINGA,RUVUMA,RUKWA,KATAVI NA NJOMBE PAMOJA NA WALE WAPENZI WA MICHEZO TUUNGANE KUICHANGIA TIMU YA MBEYA CITY TIME ILIYOBADILI SOKA LA SIMBA NA YANGA
Na Mbeya yetu

No comments:

Post a Comment