BUKOBA SPORTS

Sunday, August 3, 2014

SIMBA WAFANYA MKUTANO, YAWAFUKUZA WANACHAMA 72 WALIOFUNGUA KESI MAHAKAMANI


Rais wa Klabu ya Simba, Evans Aveva akifafanua jambo wakati wa mkutano maalum wa wananchama wa klabu hiyo uliofanyika kwenye Bwalo la Maofisa wa Polisi Oysterbay jijini Dar es Salaam. (Picha na Francis Dande)

Baadhi ya wanachama wa Simba wakiwa katika mkutano maalum wa
klabu hiyo jijini Dar es Salaam
Baadhi ya wanachama wa Simba wakihakiki kadi zao kabla ya kuingia katika ukumbi wa mkutano.

Mwenyekiti wa zamani wa Simba, Hassan Dalali akipitia nyaraka za klabu hiyo wakati akiingia katika ukumbi wa mkutano maalum wa Simba uliofanyika katika Bwalo la Maofisa wa Polisi Oysterbay jijini Dar es Salaam.
Wanachama wa Simba wakiwa katika mkutano huo.
Wanachama wa Simba wakipitia nyaraka mbalimbali wakati wa mkutano huo.
Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya Simba, Damasi Ndumabaro akizungumza wakati wa mkutano huo.

No comments:

Post a Comment