BUKOBA SPORTS

Wednesday, October 15, 2014

MAINDA's KITCHEN PARTY!!!

Mainda akikata Keki tayari kwa kuliwa kwenye Kitchen Party yake 1,2,3....Taswira za Keki kama unavyojionea...za kiaina...kijikoni zaidi!!Nazi na Mashine yake...aina ya (Mbuzi)Mainda akimlisha keki Mama yake mzaziNa yeye alilishwa keki hiyo na Mama yake mzazi.Dada Rukia Kassim nae alisogea karibu tayari..Dada Mainda Rukia(kulia) nae akilishwa keki na Mdogo wake.
KWA MATUKIO ZAIDI BOFYA HAPA CHINI USOME ZAIDI!!
Mama Mshehereshaji wa Party hiyo Mainda hakusita na hapa akajiachia!!Full shangwe!!Dada yake Mainda, Rukia(kushoto) akitoa nenoDada Mainda(kulia) akitoa neno Muda wa kutoa machozi ulifika!! Neno likasisimua huku Dada Mainda akishindwa kuendelea na kububujikwa na Machozi ya furaha!! Harusi Ijumaa!!Dada akitoa Darasa swala zima la Jikoni!! Wakitokelezea...Wakina mama wakiteta jambo..Dada Mainda akipewa zawadi Shangwe zilifuata!! Ngoma na Muziki ukapigwa!Kisha zawadi zikaendelea kumiminika!!!Mainda(kulia) akiendelea kukamata kitita Wekundu wa Msimbazi tu!

No comments:

Post a Comment