Di Matteo, mwenye asili ya nchini Italy, amejiunga na Schalke baada ya aliye kuwa kocha wa timu hiyo, Jens Keller kufungashiwa virago kwa sababu ya matoke mabavu yanayo iandama klbub hiyo tanga ligi kuu nchi Ujermani msimu wa 2014/2015 ianze.
Lakini katika mashindano ya klabu bingwa barani Ulaya, Schalke ipo katika nafasi ya tatu katika kundi lao baada ya kutoa sare kwenye mechi mbili alizozicheza mpaka sasa ambopo moja kati ya hizo mechi ni ile dhidi ya Chelsea ambayo walitoka sare ya 1-1 dimbani Stanford Bridge.
No comments:
Post a Comment