Jorge Mendes, ambae ndie Wakala wa Ronaldo, amesema Mkataba wa Staa huyo na Real Madrid una kipengele kinachomruhusu kuhama wakati wowote ikiwa tu Euro Bilioni 1 italipwa.
Hivi karibuni Ronaldo amevumishwa sana kuihama Real na kurudi Klabu yake ya zamani Manchester United.
No comments:
Post a Comment