Kipindi cha pili Arjen Robben aliwachapa bao la tatu dakika ya 82 na Sebastian Rode kumaliza mchezo kwa kuwachapa bao la nne na kufanya 4-0 dakika dakika za lala salama dakika ya 86 na mchezo huo kumalizka kwa bao 4-0. Hoffenheim walimaliza wakiwa Mtu 10 kufuatia Kadi Nyekundu kwa Adam Szalai katika Dakika ya 90.
Mchezo huo uliangaliwa na mashabiki 71,000 katika Uwanja huo leo jumamosi.
Mchezo huo uliangaliwa na mashabiki 71,000 katika Uwanja huo leo jumamosi.
No comments:
Post a Comment