BUKOBA SPORTS

Sunday, November 16, 2014

KOCHA WA MBEYA CITY JUMA MWAMBUSI AJIUZULU!

Kocha wa Mbeya City Juma Mwambusi Ajiuzulu leo taarifa zaidi tutakujuza punde!Anakuwa Kocha wa Kwanza Msimu huu tangu kuanza kujiuzulu baada ya timu yake y Mbeya City kufanya Vibaya msimu huu wakiwa katika nafasi ya Mkiani na pointi zao 5.Kocha wa Mbeya City Juma Mwambusi

No comments:

Post a Comment