BUKOBA SPORTS

Wednesday, November 26, 2014

LUDOGORETS RAZGRAD 2 vs 2 LIVERPOOL, GEORGI TERZIEV AOKOA JAHAZI! ASAWAZISHA BAO DAKIKA ZA MAJERUHI!!


Georgi Terziev alimaliza mchezo pale aliposwazisha bao dakika za majeruhi dakika ya  88 na kufanya 2-2 na Timu ya Majogoo Liverpool.2-1 Liverpool wanaongoza!Rickie Lambert akipongezwa na Timu Kepteni Steven Gerrard baada ya kuisawazishia bao kwa kufanya 1-1.
Ludogorets Razgrad Ndio walianza kuliona lango la Majogoo Liverpool mapema dakika ya 3 kupitia kwa Dani Abalo, Nao Liverpool walisahihisha makosa yao na kupata bao la kusawazisha katika muda mfupi dakika ya 8 kupitia kwa Rickie Lambert na kufanya 1-1.

No comments:

Post a Comment