BUKOBA SPORTS

Saturday, November 22, 2014

MANCHESTER CITY 2 vs 1 SWANSEA CITY, YAYA TOURE AIPA USHINDI CITY NYUMBANI ETIHAD!!

Wachezaji wa Manchester City wakipongezana baada ya Yaya Toure kuipa bao la pili
Wilfried Bony 9 ndie wa Swansea ndiye aliyeanza kuliona lango la Wenyeji wao Man City katika dakika ya 9 na dakika ya 19 Stevan Jovetic alisawazisha bao hilo na kufanya 1-1. 
Yaya Touré dakika ya 62 alifunga bao la pili na kuifanya man City kuongoza kwa bao 2-1 dhidi ya Swansea City

No comments:

Post a Comment