BUKOBA SPORTS

Wednesday, November 12, 2014

MABONDIA TAMBA NA KISARAWE WANYAKUWA MIKANDA YA TPBO


Bondia Mrisho Adam kushoto akipambana na Mustafa Dotto wakati wa mpambano wao uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita Adam alishinda kwa point mpambano huo

Bondia Mrisho Adam kulia akipambana na Mustafa Dotto wakati wa mpambano wao uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita Adam alishinda kwa point mpambano huo

Mabondia Karim Ramadhani Kushoto akipambana na Stevin Kobelo wakati wa mpambano wao uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita mchazo huo ulimalizika kwa droo

Bondia Hassani Kiwale kushoto akipambana na Julius Kisarawe wakati wa mpambano wao wa ubingwa wa Taifa wa chama cha TPBO Kisarawe aluishinda kwa point mpambano huo

Bondia Maisha Samson kushoto akipambana na Ibrahimu Tamba wakati wa mpambano wao uliofanyika mwishoni mwa wili iliyopita Tamba alishinda kwa K,O ya raundi ya Pili na kunyakuwa ubingwa

Refarii Sako Mtlya akimnyoosha mkono juu bondia Ibrahimu Tamba baada ya kumgalagaza Maisha Samsoni kwa K,O ya raundi ya pili katika mpambano wao uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita Picha na SUPER D BLOG

No comments:

Post a Comment