Hewani hewani baada ya kuruka tuta wakati wa mazoezi ya waendesha Pikipiki yaliyofanyika mwishoni mwa wiki kwenye kwenye Uwanja wa Kaitaba Mjini Bukoba.
Akiruka Gari
Wadau mbalimbali walijitokeza kushuhudia Mashindano hayo yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Kaitaba Jumapili 2.11.2014 kuanzia mchana.
Waandaaji wa Mashindano hayo ya pikipiki Bw. PK na (kulia) ni Bwana Tumaini.
No comments:
Post a Comment