Tottenham na Everton ambazo zilianzia EUROPA LIGI nazo pia zilikuwemo kwenye Droo na Tottenham watacheza na Fiorentina ya Italy wakati Everton wataivaa Young Boys ya Uswisi.
Pamoja na Liverpool, Klabu nyingine zilizotupwa EUROPA LIGI kutoka UEFA CHAMPIONS LIGI ni Liverpool, Olympiakos, Zenit St Petersburg, Anderlecht, AS Roma, Ajax, Sporting Lisbon na Athletic Bilbao.
DROO YA RAUNDI YA MTOANO YA TIMU 32:
Young Boys v Everton
Torino v Athletic Bilbao
Sevilla v Borussia Monchedgladbach
Wolsfburg v Sporting Lisbon
Ajax v Legia Warsaw
Aalborg v Club Brugge
Anderlecht v Dynamo Moscow
Dnipro v Olympiakos
Trabzonspor v Napoli
Guingamp v Dynamo Kiev
Villarreal v FC Salzburg
AS Roma v Feyernoord
PSV Eindhoven v Zenit St Petersburg
Liverpool v Besiktas
Tottenham v Fiorentina
Celtic v Internazionale
Mechi kuchezwa Februari 19 na Marudiano Februari 26
No comments:
Post a Comment