Alan Pardew, mweye Miaka 53, alishinda Mechi 3 kati ya 4 na kuwabwaga Meneja wa Chelsea, Jose Mourinho, na Manuel Pellegrini wa Man City ambao hawakufungwa hata Mechi moja.
Hivyo hivyo, Sergio Aguero amepewa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwezi wakati Mchezaji wa QPR, Charlie Austin, na wa Burnley Danny Ings walifunga Bao 3 kama Aguero ambae hii itakuwa Tuzo yake ya Pili.
No comments:
Post a Comment