
Awali Villareal walitaka Arsenal iwalipe Pauni Milioni 15 ili kukidhi Kipengele cha Mkataba wa Paulista cha kumruhusu kuondoka kabla Mkataba wake kumalizika lakini Arsenal walikuwa tayari kutoa Pauni Milioni 10 tu.

Hata hivyo, Uhamisho huu wa Paulista huenda ukanasa kupata Kibali cha Kazi Nchini Uingereza kutokana na Beki huyo mwenye Miaka 24 kutowahi kuichezea Timu ya Taifa ya Brazil.
No comments:
Post a Comment